Jumapili, 1 Septemba 2019

KAMA UNATAKA KUWA MASIKINI FANYA HAYA

Ndugu kama unataka kubaki katika umasikini wako Fanya haya yafuatayo;-

1.Usiamke mapema.

2. Usipange matumizi ya Pesa zako.

3. Usiweke akiba mpaka utakapo-kuwa tajiri.

4. Chagua kazi. Mimi nimesoma siwezi kufanya hii kazi.

5. Usifikirie kuanzisha biashara mpaka malaika akishuka kutoka mbinguni na kukukabidhi mtaji.

6. Endelea kuilahumu serikali na wazazi ambao hawakukupa Elimu.

7. Tumia Pesa nyingi kuliko kipato chako.

8. Hakikisha unaenda na fashion. Kila toleo jipya la nguo, viatu, simu lazima na wewe ununue.

9. Wanunulie watoto wako chochote watakacho kuomba.

10. Endelea kutumia muda mwingi zaidi kwenye social networks. Kama Whatsapp, Facebook na Instagram,

N:B Ukitaka kuondokana na Umasikini nenda kinyume na hayo yote
"AHSANTE"

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni