Jumanne, 23 Agosti 2016

JINSI YA KUTUNZA FEDHA

       1.Kuwa na nidhamu ya pesa.
Watu wengi tumekua tukidharau fedha hasa zika ndogo, ni vizur kuheshim fedha hiyo na kuweka mikakati ya kuiongezea zaidi,

     2.Tumia pesa kwa malengo.
Wakati wa kutumia fedha hakikisha hutoi tuu Bali unakua na lengo maalum la kutoa fedha hiyo,
    Mara nyingi to a fedha itakayoenda kuzalisha kuliko kupoteza hela bure.

        3.Angalia matumizi yako unapokua na marafiki.
Mara nyingi huwa tunajisahau tunapokua na marafiki zetu sehemu za starehe almaarufu kama "Sehemu za bhatta" epuka kutumia fedha nyingi kutoa ofa maeneo kama haya.

       4.Fanya uwekezaji.
Unapowekeza fedha mahali Fulani ni vigumu kuitumia ovyo maana itakua katika mzunguko,
      Watanzania wengi tumejengewa fikra kuwa ili uwekeze lazima uwe na fedha nyingi kampuni au eneokubwa pamoja na wafanyakazi wengi, hii siyo kweli, unaweza ukawekeza hata kwenye kilimo,au,ufugaji Mdogo tuu na baadae ukafurahia uwekezaji wako.

      5.Andika nakala ya kila fedha utakayotumia.
Kuwepo na mpango wa mapato na matumizi ya fedha ulkila siku.
   Hapa tunaangalia matumizi madogomadogo ambayo wengi hawayaaandiki mfano, unaponunua Maji,soda,vocha,vtafunwa kma bablish,karanga na biscut huwa ni matumizi madogo lakini yanatumia fedha nyingi nje ya mipango yako ya siku,
   Pia ni vyema kuandika fedha itakayoingia kwa siku na kufunga hesabu kila mwezi, hapa utafahamu tofauti juu ya mapato yako na matumizi yako kwa mwezi

Kwa maelezo zaidi juu ya hayo tutafute hapa +25575778844/+255672747666.

Imeandaliwa na Innocent Priscus na msaada mkubwa kutoka kwa Vanilla Damma.

Maoni 1 :