Jumatatu, 24 Agosti 2015

KUISHI KWA FURAHA SIKU ZOTE

>Katika maisha huwa tunakutana na mambo mengi ambayo kiukweli sio yote yatatupa furaha,,hii ni kutokana na tofauti zetu sisi wanadamu...

°Kama umeudhika na jambo fulan   cyo chanzo  cha kununa na kukosa raha chukulia poa na anza kutafuta suluhu ya tatizo hilo ili uc ufhike tena....
°Ishi maisha ya furaha Share love na watu wote utafanikiwa sana

NB:usizarau mawazo ya mwenzako hata kama anaongea ujinga 'tumia ujinga wake kujielimisha'

Imeandaliwa na kuletwa kwako na INNOCENT PRISCUS mobile 0767788444_

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni